12/15/13

Chozi!

Mjane wa Nelson Mandela Mama Graca Machel akifuta machozi.



Binti ya Nelsona Mandela, Mandla akiongea machache kabla ya Mazishi ya Madiba
Umati wa viongozi wa nchi mbali mbali duniani na watu mashuhuri wakihudhria mazishi ya Mandela kijijini kwake Qunu leo hii.
Wiinie Mandela, Rais Jackob Zumah Mjane wa Nelson Mandela, Mama Graca Machel.
 Picha na habari kwa hisani ya mirroronline


Kama Mandela hatoenda peponi nani ataenda?

Winnie Mandela na Askofu Desmond Tutu
Mke wa zamani wa Mandela Winnie Mandela kushoto na mjana wa Mandela Mama Graca Machel wakifuta machozi.
Msafara wa mwili wa Mandela ukiwasili Qunu jana.

Kapumzike kwa amani Baba Madiba ndivyo lisemavyo bango hili la baadhi ya waombolezaji
Msafara ukiwasili Qunu jana
Habari na picha kwa hisani ya mirroronline