05/27/14

Baadhi ya wageni waliohudhuria shindano la vipaji Miss Dar Indian Ocean!

Mfanyabiashara Teef Fundikira akiteta kitu na Mkurugenzi wa kampuni ya Aset Bibi Asha Baraka.
Mdau wa tasnia ya urembo Bi Hawa  Mkamba(kulia) akiwa na rafiki yake.
Kutoka kushoto Asha Baraka, Mkurugenzi wa Lino International inayoandaa shindano la Miss Tanzania na Khadija Kalili muandaaji wa Miss Pwani
Mfanyabiashara Bw Hassan akiwa na muandaaji wa Miss Dar Indian Ocean Bibi Rahma Yusuf.


Shindano la Miss Dar Indian Ocean litafanyika jumamosi ya tarehe 7/06/2014 katika ukumbi wa Chichi Hotel, Kinondoni.
Wadau wa urembo wakifuatilia onesho hilo kwa umakini mkubwa! 
Wazee wa kazi: Hashim Lundenga na Bw Bosco Majaliwa
Mkuu wa itifaki na nidhamu Bw Ephraim Makoye
Toka kushoto Hassan, Hidani Ricco na Boy George(Muandaaji wa zamani wa Miss Kinondoni)