03/02/15

Winga Adam Johnson atuhumiwa kubaka binti mdogo!

Mchezaji wa kiungo wa kilabu cha Sunderland Adam Johnson amesimamishwa na kilabu chake baada ya kukamatwa na polisi kwa tuhuma za kujamiiana na msicha mwenye umri wa miaka (15).

Winga huyo mwenye miaka (27) anasadikika kupokea pauni 50,000 (Tsh milioni 1370) kwa wiki alikamatwa nyumbani kwake na polsi toka Durham katika hekalu lake lenye thamani pauni 1.8m mnamo siku ya jumatatu na baadae kupatiwa dhamana.

Kilabu cha Sunderland kimethibitisha kuwa kimemsimisha Johnson kupisha upelelezi, na hatua hiyo itaanza kazi jumanne ambapo Sunderland itacheza na Hull City katika mfululizo wa ligi kuu ya England Barclays Pemier league. Sunderland ilimsaini Johnson kwa pauni 10m toka Manchester city mwaka 2012. Imeelezwa kuwa winga huyo mwenye mtoto mmoja amekuwa akipenda kushobokewa na wasichana na ni mpenda starehe wa hali ya juu. 

Adam Johnson akiwa na mpenzi wake mwaka2012 Man City ilipotwaa ubingwa England.
Hapa akishangilia goli dhidi ya watani wa jadi New Castle
Hii ndio nyumba ambamo Adam Johnsona alikamatiwa na polisi wa Durham
Imetafsiriwa na Mkala Fundikira 
habari na picha mailonlinefootball

Tafrija ya Tanzania bloggers yafana Serena hotel!

Mwenyekiti wa Mtandao wa mabloga Tanzania Bw Joachim Mushi (The habari blog) akisisitiza jambo wakati akiwakaribisha wageni waalikwa na mgeni rasmi.
Mgeni rasmi katibu mtendaji wa MCT Bw Kajubi Mukajanga na Blogger Othman Maulid(Zanzibar leo) 
Kutoka kushoto Mkala Fundikira(keronyingi blog), Jennifer Zighilla(Chingaone blog) na Joshua Fanuel 
Mgalula Fundikira, Peter Moe na Mkala Fundikira 
Mrs Issa Michuzi, Shamim na mdau
Kutoka kushoto Rahel Pallangyo, Chingaone, Malunde na Monica Joseph Monfinance
Malunde1, Mgalula Fundikira, Faraji Swai na Mdau
Mgalula Fundikira, Henry Mdimu (Balozi IMETOSHA MOVEMENT) Mkala Fundikira na Rahel Pallangyo
Malunde1 akisalimiana na Mgeni rasmi Bw Mukajanga.


Mdau, Malunde na Jo Mwaisango(Mbeya yetu)


Msanii Jhikoman alikuwepo pia

Wakala wa Mdhamini Vodacom, NMB na Raha
William Malecela( Blog ya wananchi)
Afisa uhusiano wa Vodacom Bw Kevin Twissa akihutubia hafla hiyo

Toka kushoto ni Mgeni rasmi Bw Kajubi D Mukajanga, Joachim Mushi, Issa Michuzi, Othman Maulid, Josh Fanuel na Henry Mdimu.
Chingaone,Josh Fanuel na Father Kidevu
Mwakilishi kutoka USA embnassy ya Tanzania
Msanii Jhikoman akitumbuiza na wimbo wa Ushirkina na John Kitime (Cheka na Kitime blog)
Jhikoman akipiga gitaa
Mkala Fundikira, Woinde Shizza na Faraji Swai
Mgeni rasmi akikata Ndafu
Mkala na Rose Ndauka(Bongo movie star)
Freddy, Khadija Kalili(Bongo weekend) na Mkala
Rose Ndauka, Mkala na mwenyekiti Mushi
Mabloga wafanya dhihaka miongoni mwao

Mdau na Rose Ndauka
Adela kavishe (dallykavisheblog)
Mdau na Chingaone
Zainul Mzige(Mo Blog) na Woinde Shizza.
Picha zote kwa hisani ya mkalamatukio blog