03/15/13

Shindano la Miss Tanzania lazinduliwa rasmi jana

Miss Tabora 2013 Sarah Paul (in blue)akiwa na warembo wengine jana
Shindano la Miss Tanzania 2013 lilizinduliwa rasmi jana usiku katika hoteli ya Serena (Moven Pick) ambapo kamati ya Miss Tanzania ikishirikiana na mdhamni mkuu wa shindano hilo TBL kupitia kinywaji chake cha Redds Premium cold
Banana Zorro wa B Banda akitoa burudani jana usiku

Miss Tanzania 2012/13 Brigitte Alfred katikati akiwa na warembo wenzake

ZILIPENDWA: Faraja Kotta kulia na Nancy Sumari wakiwa na mdau wa fani urembo