06/17/15

Wapinzani wapinga muhula wa 3 wa Kagame



Rais Paul Kagame wa Rwanda
Zaidi ya raia milioni 7.3 wametia sahihi ombi la kuunga mkono mabadiliko hayo. Nchi hiyo ina jumla ya watu 11.3m.
Wakosoaji wanasema wengi waliounga mkono ombi hilo ni wafungwa ambao hawaruhusiwi hata kupiga kura.
Bwana Kagame ameliongoza taifa hilo tangu mwisho wa mauaji ya kimbari mwaka 1994.
Taifa jirani la Burundi limekumbwa na mgogoro tangu mwezi Aprili wakati rais Pierre Nkurunziza alipotangaza hamu yake ya kuwania muhula mwengine wa tatu.
source BBCswahili