09/26/13

Washiriki wa Miss TPSC Tabora watembelea Cg fm

Nice Mbelwa(Meneja vipindi)akiwatambulisha washiriki wa Miss TPSC 2013 kwa mhariri wa habari wa Cg fm 89.5 Bw Titus Filipo.
Washiriki wa shindano la Miss TPSC 2013 jana walitembelea kituo cha  redio cha CG fm 89.5 ambapo walioneshwa jinsi ambavyo kituo hicho kinavyofanya kazi, vile vile walitembelea chumba cha habari, cumba cha utayarishaji na studio ambako walihojiwa na Nice Mbelwa na Vivian Pyuza.
Mkurugenzi wa Cg fm 89.5 Bw George Charles ambaye pia ni injinia wa kituo hicho cha redio.
Mtangazaji Vivian Pyuza akiwa studioni tayari kwa mahojiano na washiriki wa Miss TPSC

warembo pose!

Mratibu wa shindano la Miss TPSC 2013

Mmetuona? Joyce Lilian na Perpetua.


Paulina akijibu moja ya maswali toka kwa Nice Mbelwa na Vian Pyuza wa Cg fm 89.5 jana

Mshiriki Lulu akiwekwa mtu kati kwa maswali na watangazaji wa Cg fm 89.5

Mshiriki Miss Saada akicheka baada ya kuulizwa swali la kizushi