October 2013

BOB JUNIOR KUZINDUA WIMBO MPYA "BASHASHA" KAMSHIRIKISHA VANESSA MDEE

NYIMBO MPYA AMBAYO INAAMINIKA KUWA NI NZURI ZAIDI YA ULIZOWAHI KUZISIKIA ITAKWENDA KWA JINA LA "BASHASHA" 

MWANADADA MKALI VANESSA MDEE NAYE NDANI KASHIRIKISHWA KWENYE NYIMBO HIYO KALI UTAKAYOPATA KUISIKILIZA BAADA YA UZINDUZI WAKE.

SASA ISHU KUBWA NI UZINDUZI WA SINGLE HIYO HAPO TAREHE 27 OKTOBA 2013 JUMAPILI NDANI YA "ClubBilicanas".

********
WASANII KIBAO KUTUA HAPO NI HAWA WAFUATAO: 
BOB JUNIOR NA VANESSA MDEE 
QUEEN DARLEEN 
SAMIR 
CHID BENZ 
CYRIL 
MIRROR 
LINEX 
BONGE LA NYAU 

**********
COMEDY : KUTANA NA MASAI NYOTA MBOFU
TAG: 6,000/=

"MR CHOCOLATE AMEUTHIBITISHIA MTANDAO WA www.aloyson.com KUWA BASHASHA ZILIZOTIWA HUMO LAZIMA ZIWE CHAKULA BORA CHA MASIKIO YAKO KWA KUSUDI LA KUBORESHA MAPENZI YATAKAYOSTAHIKI KUTIWA MABASHASHI YA AINA YAKE..."

ENDELEA KUTEMBELEA MTANDAO HUU KUUPATA WIMBO HUO KUANZIA TAR 27.10.2013

Nikon Hd SLR camera inauzwa!

Mtazamo wake kwa juu.
  • Extensive in-camera retouching including raw development and straightening
  • 12.9 megapixel DX-format CMOS sensor (effective pixels: 12.3 million)
  • 3.0-inch 920,000 pixel (VGA x 3 colors) TFT-LCD (same as D3 and D300)
  • Live View with contrast-detect AF, face detection
  • Image sensor cleaning (sensor shake)
  • Illuminated focus points
  • Movie capture at up to 1280 x 720 (720p) 24 fps with mono sound
  • IS0 200-3200 range (100-6400 expanded)
  • 4.5 frames per second continuous shooting (buffer: 7 RAW, 25 JPEG fine, 100 JPEG Normal)
  • Expeed image processing engine
  • 3D tracking AF (11 point)
  • Short startup time, viewfinder blackout and shutter lag
  • Slightly improved viewfinder (96% frame coverage)
  • Improved user interface
  • New optional compact GPS unit (fits on hot shoe)
  • Same battery and vertical grip as D80
  • Vignetting control in-camera
  • 72 thumbnail and calendar view in playback
Kwa mbele D90 inavyoonekana

Kwa nyuma ambako pana settings zote


For more details please call 
0754 666 620

Valencia ndiye mchezaji mwenye kasi kuliko wote duniani!

Nyota wa Arsenal Theo Walcot amekuwa akifikiriwa ndiye mcheza soka mwenye kasi kuliko wote duniani, lakini imebainishwa kuwa kiungo wa timu ya Man United Antonio Valencia ametajwa na FIFA kuwa ndiye mcheza soka mwenye kasi kuliko wote ulimwenguni, inasadikika kuwa kiungo huyo anakadiriwa kufikia mwendo kasi wa kilometa 22 kwa saa. Na orodha ya wachezaji na kasi ni kama ifuatavyo hapo chini.
1. Antonio Valencia km 22 (kwa saa) Man united
2. Gareth Bale km 21.56 (kwa saa) Real Madrid
Orodha hiyo pia imeonesha kuwa Aaron Lenon wa Totenham Hotspurs anashika nafasi ya tatu na ya nne imechukuliwa na Christiano Ronaldo huku Lionel Messi akiangukia nafasi ya sita.
Habari na picha kwa hisani ya mtandao wa the express

BOB JUNIOR | MASAI NYOTAMBOFU | SAMIR NA MASELE CHA POMBE KUBURUDISHA SIKUKUU YA EID EL HAJ TABORA


Bob junior aka Mr Chocolate Flavor
BOB JUNIOR | MR CHOCOLATE | RAIS WA MASHAROBARO | MTAALAMU WA VIOUNO
NI MSANII NA PRODUCER ANAYETAMBA NA VIBAO KAMA KIMBIJI, ANDAZI  NA NYINGINE NYINGI, KWA MARA YA KWANZA ATADONDOSHA BONGE MOJA LA SHOO SIKU YA EID EL HAJ NDANI YA UWANJA WA ALLY HASSAN MWINYI KWA KIINGILIO CHA 3000 WAKUBWA NA 1000 WATOTO, KUANZIA SAA 8 MCHANA NA USIKU ITAKUWA KATIKA UKUMBI WA THEOFILO KISANJI UNIVERSITY (TEKU) KWA SH 5,000/= NA SH 10,000/= TU KWA V.I.P | NI TAREHE 15 OKTOBA, 2013
 MASAI NYOTAMBOFU MWANAMZIKI NA MSANII WA VICHEKESHO ANAYETAMBA KATIKA VITUKO SHOO YA CHANEL TEN, ATACHEKESHA NA KUIMBA NYIMBO ZAKE MBILI, HAPATATOSHA SIKU HIYO
 KUTANA NA MASELE CHA POMBE | MCHEKESHAJI MAHIRI WA VIYUKO SHOO, NJOO KUTANA NA SWAGA ZA KULEWA BILA KUNYWA LIVE KATIKA MAJUKWAA MAWILI MCHANA NDANI YA ALLY HASSAN MWINYI KWA KIINGILIO CHA SH 3,000/= WAKUBWA NA 1000/= WATOTO MA USIKU NDANI YA UKUMBI WA TEKU (DIAMOND TALKIES) KWA SH 5000/= NA 10,000/= V.I.P
NA SAMIR KUHAMISHIA BAHARI YAKE NA MCHEZO WA KINYULINYULI NDANI YA ARDHI YA WANYAMWEZI.
------------
SHOO INAENDA KWA UDHAMINI WA GONALA PHAMACY | FRANKMAN PALACE HOTEL | NBS CLASSIC (KAMPUNI YA USAFIRI) | CLOUDS FM NA CG FM 89.5
-------------

Bob Junior kuburudisha wakazi wa Tabora siku ya Eid El Haj!

Bob Junior
Msanii machachari wa muziki wa kizazi kipya Bob Junior aka Sharobaro aka Rais wa wasafi hatimaye kwa mara ya kwanza atafanya onesho la kukata na shoka mjini Tabora katika uwanja wa Ally Hassan Mwinyi katika kusherehekea sikukuu ya Eid El Haj litakalofanyika Jumanne ya tarehe 15/10/2013. Akithibitisha hilo mratibu wa onesho hilo kubwa Mkala Fundikira ambalo litawaleta pia wasanii wa vichekesho Masele cha pombe na Masai nyota mbofu wa kipindi cha ucheshi cha Vituko show alisema kila kitu kipo tayari kwa sasa yeye na jopo la waandaaji wenzie wanamalizia vitu vidogo vidogo tu na kuisubiria siku ya onesho. Pia Mkala alisema kuna msanii mwingine wa Bongo Flava ataungana na hao ambao amewataja kuja Tabora kumwaga burudani atamtaja siku zijazo.