12/09/13

Mpiga mbizi shujaa amkaribia Papa!


Wapiga mbizi Vincent Canabal na Daniel Botelho walihatarisha maisha yao ili kumkaribia papa hatari katika pwani ya visiwa vya Bahama huko Marekani katika fukwe za Tiger ambapo Vincent alikuwa akimlisha chakula cha mbwa, papa  huyo mwenye urefu wa futi 16 alivutiwa na chakula hicho ndipo akawa mtulivu.

Vincent akimlisha papa chakula cha mbwa.