04/11/13

Dayna amtunza shabiki buku kumi!

Dyna na patna wake wa stejini.
Mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya Bongo Flava Dyna, wikiendi iliyopita alitoa mpya pale alipoamua kumtunza kijana mmoja ambaye yeye Dyna alimwita stejini ili asaidiane naye kuimba wimbo alioimba na Marlow (Mafungu ya nyanya). Kwa mshangao wa wengi kijana huyo pichani aliimba kwa umahiri mkubwa kiasi cha kushangiliwa na watu walioingia ukumbini Royal Garden. Wimbo huo ulipoisha Dayna aliamua kutoa pesa yake mfukoni sh elfu kumi na kumtunza kijana huyo ambaye aliigiza wimbo huo vizuri na kukonga mpaka moyo wa Dayna mwenyewe.
Kazini.
Ile ile.

Hapa Dyna akitoa sh 10,000/=

Majembe; Dj Kali, msanii Man Fley na Mshabiki wa Bongo Flava wakifuatilia show.

Msanii Man Fley na Mshabiki wake

Mmoja wa wamiliki wa klabu ya Royal Adam Fundikira na mkewe Joyce katikati wakifuatili onesho hilo

Chura Fashion Tabora inatisha ki noma!


Kwa nje Chura Fashion
Chura Fashion ni duka la nguo za kike na kiume, viatu na mazaga zaga kibao mjini Tabora. duka hilo ambalo lina section mbili yaaniya kike na kiume halina mfano mjini Tabora. Hasa katika kipindihiki weekend inakaribia nawashauri wale wapenda outing wasipoteze muda kuzunguka sijui Mtaa wa Salmini au wapi, we fika tu CHURA FASHION ujipatie mahitaji yako kwa bei rahisi, maneno matupu hayavunji mfupa jionee mwenyewe mazaga zaga toka Majuu hapo chini.

Mkurugenzi wa Chura Fashion akiwa na mteja
Pamba za kiume
Pamba za madada
Majembe ya Tabora.
Flat shoes kali za madada
Miguu mikali kwa majembe!
The man himself  director ma man Mashaka Chura