06/04/14

Washiriki wa Miss Dar Indian Ocean wajichua vikali kuelekea kilele cha shindano hilo!

Shamila Yusuf


Tazama picha za washiriki wa shindano la urimbwende la Miss Dar Indian Ocean 2014 wakiwa katika mazoezi ya mwisho kabla ya kilele cha shindano hilo jumamosi hii ya tarehe 7/6/2014 katika viwanja vya Nyumbani Lounge ambako bendi inayoundwa vijana wenye vipaji toka Tanzania house of talent (THT) watatumbuiza shindano hilo. Akiongea na blog hii muandaaji wa shindano hilo Bibi Rahma Yusuf anayeanda kupitia kamuni yake ya Rahmat Entertainments alisema maandalizi yote yapo sawa kinachosubiriwa ni ni siku saa na tarehe tu.  Viingilio ni Tsh 10,000/= viti vya kawaida na Tsh 30,000/= kwa viti maalum(VIP), onesho litaanza mnamo saa 2 za usiku mpaka majogoo. Washiriki hao wapo ya mkufunzi wao Miss Husna
Miss Sophia
Miss Mary Shila 
Joyce James 
Monica Nshimba
Miss Sasha Deogratius
Miss Hasnat Hussien
Janet Geofrey

Miss Getrude Massawe
Miss Mariam Salum
Miss Suzzane SAWAYA
Miss Ayaan Abdul
Miss Camilla John