Showing posts with label Elimu. Show all posts
VYUO VYATAKIWA KUTOA ELIMU KULINGANA NA MAHITAJI YA AJIRA HAPA NCHINI
Na Woinde
Shizza,Arusha
VIJANA wengi wanaohitimu vyuo
hawapati kazi mara tu ya kuhitimu
masomo yao kutokana na kutokuwepo kwa vyanzo vya ajira vinavyokwenda
sambamba na ongezeko la wahitimu na kuchangia kuwepo kwa wimbi...
Soma Zaidi..WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI YA BAJAVERO DAR WAPATA MAFUNZO JUU YA HEDHI SALAMA.
Mratibu wa Mradi wa Afya wa Help Kids Edith Peter Mziray akiwasihi wanafunzi kuwa wasikivu wakati wa semina ya Hedhi salama
Mkurugenzi mtendaji wa Kasole Secrets Hyasintha Ntuyeko
ambao pia ni waandaaji wa siku ya Hedhi Duniani...
Soma Zaidi..Hanifa Fundikira ahitimu uzamili!
Mwanadada Hanifa Mdemu Fundikira leo hii katika chuo kikuu cha Northampton, amehitimu shahada ya uzamili katika utalii (Masters in Tourism management) Blog hii na blog mama Keronyingi blog zinachukua fursa hii kumpongeza bibi...
Soma Zaidi..
Subscribe to:
Posts
(
Atom
)