Showing posts with label Michezo. Show all posts
Bilionea Dangote bado anataka kuinunua Arsenal!
Uwanja wa the Emirate London ya kaskazini
Bilionea mNigeria mfanyabiashara wa saruji Bw Aliko Dangote ameeleza nia yake ya kuinunua klabu ya Arsenal ya England. Dangote ambaye ndiye mtu tajiri kuliko wote katika bara la Afrika ambaye ana...
Soma Zaidi..MASHINDANO YA LUCY OWENYA CUP YAZINDULIWA JIMBO LA MOSHI VIJIJINI.
Mbunge wa viti Maalumumkoa wa
Kilimanjaro,Lucy Owenya akiwasili katika uwanja wa michezo wa shule ya
sekondari Singhiti kwa ajili ya ufunguzi wa mashindano ya Lucy Owenya
Cup 2015 yanayofanyika katika jimbo la Moshi vijijini na kushirikisha
kata...
Soma Zaidi..WATANZANIA WAFANYA VIZURI MBIO ZA NGORONGORO MARATHONI 2015
Waziri mkuu Mstaafu , Fredrick Sumaye akiwa
katika picha ya pamoja na viongozi wengine mbalimbali wakiwemo
waandaji buda mfupi kabla ya kuanza kwa mbio za Km 21 Katika gate la
kuingilia hifadhi ya taifa ya Ngorongoro,
Waziri mkuu Msaatfu...
Soma Zaidi..Homa ya mchezo kati ya Coastal union na Simba sports club yapamba moto!
Tanga town
Wakazi wa jiji la Tanga, viunga vya vyake na mikoa ya jirani leo hii watapata burudani inayotarajiwa kuwa ya kupendeza leo hii jioni mnamo saa 10.15 za jioni wakati Wekundu wa Msimbazi Simba SC itakapoingia katika stadia ya Mkwakwani...
Soma Zaidi..Roy Keane amshambulia vikali Ferguson!
Nyakati za furaha:Sir Alex na nahodha wa zamani wa Man united Roy Keane wakibeba juu moja ya makombe ya EPL waliyoyashinda pamoja
Katika hali isiyoshangaza wengi Roy Keane amemshambulia kocha wake wa zamani Sir Alex Ferguson kuwa anapenda...
Soma Zaidi..
Subscribe to:
Posts
(
Atom
)