04/07/13

Kitale, Dyna na Kala Jeremaya wapagawisha Tabora

Kala Jeremaya mwingine!

Kala Jeremaya akiwarusha wapenzi wake katika ukumbi wa Royal Garden






Msanii wa vichekesho na muziki Kitale akifanya vitu vyake jukwaani Royal Garden Tabora.
Wasanii wa muziki wa kizazi kipya Bongo Flava Kitale, Dyna na Kala Jeremaya jumamosi ya tarehe 6/4/2013 walitoa burudani safi katika manispaa ya Tabora ndani ya ukumbi wa Royal Garden. Onesho hilo ambalo lilifana sana pamoja na kuhudhuriwa na watu wachache kutokana na hali ya hewa kutishia mvua kunyesha amabapo mnammo majira ya saa 2 usiku manyunyu yalidondoka katika maeneo mengi mjini Tabora.
Baadhi ya washabiki wa Kitale wakifurahia show
Dyna akiwa na mshabiki mmoja aliyemwita jukwaani kuimba naye

Mziki kunoga!