March 2013

Shindano la Miss Tanzania lazinduliwa rasmi jana

Miss Tabora 2013 Sarah Paul (in blue)akiwa na warembo wengine jana
Shindano la Miss Tanzania 2013 lilizinduliwa rasmi jana usiku katika hoteli ya Serena (Moven Pick) ambapo kamati ya Miss Tanzania ikishirikiana na mdhamni mkuu wa shindano hilo TBL kupitia kinywaji chake cha Redds Premium cold
Banana Zorro wa B Banda akitoa burudani jana usiku

Miss Tanzania 2012/13 Brigitte Alfred katikati akiwa na warembo wenzake

ZILIPENDWA: Faraja Kotta kulia na Nancy Sumari wakiwa na mdau wa fani urembo

Gari inauzwa!


Toyota Rav 4 inauzwa: 
2002 Model, 14,000 Milleage,1998Cc, Full ac, cd radio, Leather seats, Sun roof. For more details please inbox me on facebook or call 0754666620

Miss Tanzania 2012/13 Brigitte Alfred

Mkurugenzi wa Miss Tanzania Bw Hashim Lundenga akisisitiza jambo katika semina ya mawakala iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika hoteli ya Girraffe jijini Dar. Aliyeketi kushoto kwake ni Miss Tanzania 2012/13 Brigitte Alfred.
Wonderful!

Mja mzito ashangazwa na uso kujitokeza tumboni mwake


         Tumbo la Karen McMartin lionekanavyo kwa nje  

Hali hii ingeweza kujitokeza katika scene za filamu za kutisha kama ile maarufu ALIEN. Lakini mama mtarajiwa Karen McMartin na mumewe David walipigwa butwaa pale sura ya binadamu mtu mzima kujionesha katika tumbo la mja mzito huyo  ndipo wakaamua kuipiga picha.




Mwaka 2012!

Waremboz!

Unaweza kumtambua Nassor Wazambi katika picha hii?

Mawakala wa Miss Tanzania katika semina wiki iliyopita
Picha hii ilichukuliwa siku ya semina ya mawakala wa Miss Tanzania, iliyofanyika katika hoteli ya Girraffe pembezoni mwa bahari ya hindi jijini Dar. Je unaweza kumtambua mwakilishi wa Miss Tabora Bw Nassor Wazambi ambaye yupo katika hii?

Wazambi kuwakilisha kamati ya Miss Tabora katika semina ya Miss Tanzania




Nassor Wazambi
Mjumbe wa kamati ya Miss Tabora Bw Nassor Wazambi
ameteuliwa kuhudhuria semina ya mawakala wa Miss Tanzania itakayofanyika nje kidogo ya jiji la Dar katika hoteli ya kitalli ya Girraffe Hotel iliyopo kando kando ya bahari ya Hindi.  

Semina hiyo ni ya kawaida kila mwaka kufanywa na kamati ya Miss Tanzania kwa kushirikiana na mdhamini mkuu kampuni ya bia Tanzania TBL kupitia kinywaji chake cha Redds Premium cold. Shindano la Miss Tabora linatarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwezi Mei, kamati ya Miss Tabora imeahidi kuwaandalia wakazi wa Tabora onesho kabambe ambalo halijawahi fanyika tangu Miss Tabora ianze.

Semina itafanyikia katika ukumbi huu.

Bwawa la kuogelea lipo kwa wakaazi.