06/30/13

Twanga yazindua albam ya 12 na kuadhimisha miaka 15 ya kuzaliwa!


Dansa Mandela akifanya yake jukwaani.
 Bendi kongwe ya jijini Dar es Salaam, The African Stars (Twanga pepeta sugu) Kisima cha burudani nchini Tanzania, jana katika viwanja vya leaders club walizindua albam yao ya 12 iendayo kwa jina Nyumbani ni nyumbani, vile vile bendi hiyo iliadhimisha miaka 15 tangu kuzaliwa rasmi mwaka 1998.


Rapa Diof na Dogo Rama wakiwasha moto
Vipaji vingi; Kalala Junior akiimba moja ya nyimbo wlizozindua jana.

Saleh Kupaza akpaaza sauti yake jukwaaani
Na Hadija Kalili wa Bongo weekend Blog
Mope akiwa na shabiki mtasha wa Twanga
Hadija na Matinda
Hapo sasa hapo.........




AMigo Las Baba naa Sofii

Kiongozi wa bendi Mamaa Luiza Mbutu aki pose!