07/17/15

Tabora Stand Up; Eid Mosi Wasanii Wafurika Hapatoshi.

Shangwe na burudani za kutosha zinatarajiwa kufanyika katika sikukuu ya Eid hapo kesho mkoani Tabora panapo majaaliwa ya M/Mungu. Mashabiki mbalimbali mjini Tabora watarajiwa kufurahia onesho hilo katika maeneo mawili tofauti ambapo mchana itakuwa Bwalo la Polisi kuanzia saa 8 mchana na Usiku katika viwanja vya Muungano Mesi kuanzia saa 2 usiku.
Wasanii wa kila nyanja wametua mjini hapo na kufanya mahojiano CG Fm Redio leo mchana; wasanii hao ni Kassim Mganga a.k.a tajiri wa mahaba, Ommy Dimpoz, Mkude Simba (Kitale) na rafiki yake Stan Bakora, Young Killer, na Baraka Da Prince.
Eid_Tabora (8)
Kassim Mganga akiwa CG Fm Redio, 89.5 The point of no Return
Eid_Tabora (11)
Ommy Dimpoz
Eid_Tabora (4)
Eid_Tabora (7)
Manoni (Mtangazaji CG Fm Redio 89.5 The Point of no Return) akifanya mahojiano na wasanii.
Eid_Tabora (13)
Mkudesimba Original (Kitale)
Eid_Tabora (14)
Kitale na Stani Bakora, ...eti "Tembo wa Ulaya mkubwa sana kama mbuzi"
Eid_Tabora (17)
Stan Bakora
Eid_Tabora (9)
Baraka Da Prince
Eid_Tabora (16)
Stephania (Mtangazaji CG FM)
Eid_Tabora (15)
Eid_Tabora (12)
Young Killer (Handsome aliyekosa matunzo) akishuka free style.
Eid_Tabora (5)
Mgalula Fundikira (Mkurugenzi wa Royal Nsyepa Entertainment) akizungumzia maandalizi ya onesho hilo aliloliandaa baada ya muda mrefu toka arudi kutoka Hispania
Eid_Tabora (3) Eid_Tabora (2) Eid_Tabora (18)
Kutoka kushoto, Kassim Mganga, Mubenga (Meneja wa Ommy Dimpoz), Stan Bakora na Abdul katika nyumba za Tabora Rest House walikofikia wasanii hao.
Eid_Tabora (19)  
Wakijipima uwezo wa ukali wa "SAUM"
Picha na Aloyson -TBN Kanda ya magharibi