04/28/13

Afisa utamaduni Tabora azindua Redss Miss Tabora 2013 rasmi!

Afisa Utamaduni wilaya ya Tabora Bw Katunzi akisisitiza jambo
Shindano la kumsaka mrembo wa Redds Miss Tabora 2013 jana lilizinduliwa rasmi na Afisa Utamaduni wa wilaya ya Tabora Bw Katunzi katika ukumbi wa Frankman Palace ambapo jumla warembo saba walichukua fomu za ushiriki wa shindano hilo kubwa mkoani Tabora  katika uzinduzi huo uliofana. Miss Tabora ambayo imekuwa ikiandaliwa na kampuni ya Club Royal Entertainments kwa miaka minne sasa ni shindano lenye msisimko mkubwa mkoani humo.

Models wa Redds Miss Tabora wakiwa wamevalia fulana maalum zinazotolewa na mdhamini mkuu Tbl kupitia kinywaji chao cha Redds Premium cold.

Nassor Wazambi (Mkuu wa itifaki) wa kamati ya Miss Tabora 2013 akisisitiza jambo jana katika uzinduzi wa shindano hilo


Warembo wa Miss Tabora wakionesha Redds Premium cold.

Toka kushoto: Saad Masawila, Mkala Fundikira, Pili Issa (Miss Tabora 2010) na Zena Motte(Miss Singida 2012/13)

Baadhi ya washiriki wa shindano la Miss Tabora waki pozi kwa picha!