11/12/13

SAFARI YA MWILI WA MAMAA NYAWANA FUNDIKIRA TOKA DAR KUELEKEA TABORA


Msanii wa kundi la taarabu la mashauzi classic Thabit Abdul akiwa amebeba jeneza la mwili wa marehemu msanii Nyawana Fundikila pamoja na wausika wengine kwa ajili ya kupereka kwenye gari iliyomsafirisha kwenda tabora kwa ajili ya maziko

Kisomo cha Marehemu Nyawana Leo Tabora!

Ndugu, Jamaa na Marafiki Wakiwa Katika Kisomo cha Marehemu Nyawana Leo Tabora
Shekhe Katika Kisomo cha Marehemu Nyawana Leo Tabora!
DJ Fimbo (aliyevaa prova ya njano)Mmoja wa wafanyakazi wa kituo cha redio VoT FM ambacho marehemu alishawahi fanyia kazi
Ndugu, jamaa na marafiki katika wakati mgumu wa maombolezo
majonzi mazito