Chozi!

Chozi!

Mjane wa Nelson Mandela Mama Graca Machel akifuta machozi.



Binti ya Nelsona Mandela, Mandla akiongea machache kabla ya Mazishi ya Madiba
Umati wa viongozi wa nchi mbali mbali duniani na watu mashuhuri wakihudhria mazishi ya Mandela kijijini kwake Qunu leo hii.
Wiinie Mandela, Rais Jackob Zumah Mjane wa Nelson Mandela, Mama Graca Machel.
 Picha na habari kwa hisani ya mirroronline