mkalamatukio

Opening show ya Miss Dar Miss Indian Ocean ilivyoenda!


Washiriki wa Miss Dar Indian Ocean wakicheza  mziki wa kufungulia shindano
Mshiriki Miss Mary Shila alitia fora kwa uchezaji wake mziki kwa umahiri.
Suzannah Sawaya akinengua
Miss Camilla John
Mariam Salum akicheza opening show
Tunajimwaga



Mc Jose ambaye pia ndiye alifundisha warembo kucheza opening show.

Camilla John aibuka mshindi Redds Miss Dar Indian Ocean!

Miss Camilla John ndiye Redds Miss Dar Indian Ocean
Top 3, Miss Dar Indian Ocean Camilla John akiwa na Mary Shila kulia na Getrude Massawe
Top 5, toka kushoto Marim Salum, Mary Shila, Camilla John, Getrude Massawe na Hasnat Hussein
Muandaaji wa Redds Miss Dar Indian Ocean Bibi Rahma Yusuph na mgeni rasmi Mh Abass Tarimba

Mkuu wa itifaki wa kamati ya Miss Tanzania Bw Albert Makoye akimkaribisha mgeni rasmi Bw Abass Tarimba afungue hafla rasmi.
Bw Abass Tarimba(MGENI RASMI) mkurugenzi wa Bahati nasibu ya taifa
Boy George akiwa na mdhamini CXC Africa Bw Charles Hamka wakijadili jambo fulani jana.
Majaji wa Miss Dar Indian Ocean wakifuatilia mwenendo wa shiondano hilo jana
Majaji wakitazama kwa makini moja washiriki akipita jukwaani toka kushoto Innocent Melleck, James Kissaka na Hassan Ally.

Leo ndio leo Malkia wa Miss Dar Indian Ocean kupatikana leo!

 Warembo wa Miss Dar Indian Ocean jana walitembelea Club Billicanas kujinadi kwa mara ya mwisho ambapo leo watachuana vikali kuwania taji la Miss Dar Indian Ocean. Shindano hilo litafanyika leo usiku kuanzia saa 2 katika viwanja vya Nyumbani lounge ambapo viingilio kwa viti vya kawaida ni Tsh 10,000/= na zile za VIP zikipatikana kwa Tsh 30,000/=. Shindano hilo limedhaminiwa Konyagi kupitia kinywaji chake cha Zanzi, CXC Africa, Tsn Super market, Redds Original,TBC, Channel 10, Blog ya wananchi, Nyumbani Lounge. Chini ni picha za baadhi ya warembo wa shindano hilo.
Msaidizi wa Matron wa warembo Miss Baby James
Mjumbe wa kamati ya Miss Dar Indian Bw Khalid Mkwabi aka Dudu (Kushoto) akiwakaribisha mashabiki wa urembo katika show ya leo. Kulia ni Miss Baby James

Kamati ya Miss Tanzania yatembelea kambi ya Redds Miss Dar Indian ocean!

Kamati ya Redds Miss Tanzania jana jioni ilifanya ziara katika kambi ya Redds Miss Dar Indian Ocean iliyopo katika Hoteli ya Chichi wilayani Kinondoni, jijini Dar. Ziara yao ilikuwa ni pamoja na kuwafunda warimbwende hao na kuwapa muda warembo hao wa kuuliza maswali kadha wa kadha. Kilele cha shindano hilo la Miss Dar Indian Ocean kitafanyika jumamosi tarehe 7/6/2014 katika viwanja vya Nyumbani Lounge. Warembo hao leo hii mchana watakuwa na pre judgement itafanywa na kamati ya Redds Miss Kinondoni chini ya muandaaji wa kanda hiyo Bw Innocent Melleck. Chini ni picha za tukio hilo
Mkurugenzi wa Lino International Agency inayoratibu Miss Tanzania Bw Hashim Lundenga, Mkuu wa itifaki na nidhamu Bw Albert Makoye na wakala wa Miss Kinondoni Bw Innocent Melleck katika
Katibu wa Miss Tanzania Bw Bosco Majaliwa na Bw Hashim Lundenga
Wakala wa zamani wa Miss Knondoni Bw Yusuf Omary aka Boy George akiwa na matron wa Miss Dar Indian Ocean Husna Maulid Miss Kinondoni no2 2011 
Baadhi ya warembo wa Kutoka kushoto Mariam Salum, Hasnat Hussein na Janet Geofrey wakimsikiliza Bw Hashim Lundenga, kamati ya Miss Tanzania ilipotembelea kambi yao jana jioni.
Wakala wa Miss Shinyanga Bi Asela Magaka
Wadau wa tasnia ya urembo 
Kutoka kushoto Albert Makoye, Innocent Melleck na Hidan Ricco(Afisa habari Miss Tanzania) 
Kutoka kushoto Miss Getrude Massawe, Sasha Deogratius, Camilla John, Suzzane na Shamila 
Tumepozi!

Mjumbe wa kamati Miss Dar Indian Ocean Bw Hassan Lema na wakala wa Miss Dar Indian Ocean Bibi Rahma Yusuph
Bibi Rahma Yusuph
Mshirki wa zamani wa Miss Tanzania, wakala wa Miss Geita na mjumbe wa Miss Tanzania Bw Lucas

Washiriki wa Miss Dar Indian Ocean wajichua vikali kuelekea kilele cha shindano hilo!

Shamila Yusuf


Tazama picha za washiriki wa shindano la urimbwende la Miss Dar Indian Ocean 2014 wakiwa katika mazoezi ya mwisho kabla ya kilele cha shindano hilo jumamosi hii ya tarehe 7/6/2014 katika viwanja vya Nyumbani Lounge ambako bendi inayoundwa vijana wenye vipaji toka Tanzania house of talent (THT) watatumbuiza shindano hilo. Akiongea na blog hii muandaaji wa shindano hilo Bibi Rahma Yusuf anayeanda kupitia kamuni yake ya Rahmat Entertainments alisema maandalizi yote yapo sawa kinachosubiriwa ni ni siku saa na tarehe tu.  Viingilio ni Tsh 10,000/= viti vya kawaida na Tsh 30,000/= kwa viti maalum(VIP), onesho litaanza mnamo saa 2 za usiku mpaka majogoo. Washiriki hao wapo ya mkufunzi wao Miss Husna
Miss Sophia
Miss Mary Shila 
Joyce James 
Monica Nshimba
Miss Sasha Deogratius
Miss Hasnat Hussien
Janet Geofrey

Miss Getrude Massawe
Miss Mariam Salum
Miss Suzzane SAWAYA
Miss Ayaan Abdul
Miss Camilla John