Camilla John aibuka mshindi Redds Miss Dar Indian Ocean!

Camilla John aibuka mshindi Redds Miss Dar Indian Ocean!

Miss Camilla John ndiye Redds Miss Dar Indian Ocean
Top 3, Miss Dar Indian Ocean Camilla John akiwa na Mary Shila kulia na Getrude Massawe
Top 5, toka kushoto Marim Salum, Mary Shila, Camilla John, Getrude Massawe na Hasnat Hussein
Muandaaji wa Redds Miss Dar Indian Ocean Bibi Rahma Yusuph na mgeni rasmi Mh Abass Tarimba

Mkuu wa itifaki wa kamati ya Miss Tanzania Bw Albert Makoye akimkaribisha mgeni rasmi Bw Abass Tarimba afungue hafla rasmi.
Bw Abass Tarimba(MGENI RASMI) mkurugenzi wa Bahati nasibu ya taifa
Boy George akiwa na mdhamini CXC Africa Bw Charles Hamka wakijadili jambo fulani jana.
Majaji wa Miss Dar Indian Ocean wakifuatilia mwenendo wa shiondano hilo jana
Majaji wakitazama kwa makini moja washiriki akipita jukwaani toka kushoto Innocent Melleck, James Kissaka na Hassan Ally.