mkalamatukio

Dayna amtunza shabiki buku kumi!

Dyna na patna wake wa stejini.
Mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya Bongo Flava Dyna, wikiendi iliyopita alitoa mpya pale alipoamua kumtunza kijana mmoja ambaye yeye Dyna alimwita stejini ili asaidiane naye kuimba wimbo alioimba na Marlow (Mafungu ya nyanya). Kwa mshangao wa wengi kijana huyo pichani aliimba kwa umahiri mkubwa kiasi cha kushangiliwa na watu walioingia ukumbini Royal Garden. Wimbo huo ulipoisha Dayna aliamua kutoa pesa yake mfukoni sh elfu kumi na kumtunza kijana huyo ambaye aliigiza wimbo huo vizuri na kukonga mpaka moyo wa Dayna mwenyewe.
Kazini.
Ile ile.

Hapa Dyna akitoa sh 10,000/=

Majembe; Dj Kali, msanii Man Fley na Mshabiki wa Bongo Flava wakifuatilia show.

Msanii Man Fley na Mshabiki wake

Mmoja wa wamiliki wa klabu ya Royal Adam Fundikira na mkewe Joyce katikati wakifuatili onesho hilo

Chura Fashion Tabora inatisha ki noma!


Kwa nje Chura Fashion
Chura Fashion ni duka la nguo za kike na kiume, viatu na mazaga zaga kibao mjini Tabora. duka hilo ambalo lina section mbili yaaniya kike na kiume halina mfano mjini Tabora. Hasa katika kipindihiki weekend inakaribia nawashauri wale wapenda outing wasipoteze muda kuzunguka sijui Mtaa wa Salmini au wapi, we fika tu CHURA FASHION ujipatie mahitaji yako kwa bei rahisi, maneno matupu hayavunji mfupa jionee mwenyewe mazaga zaga toka Majuu hapo chini.

Mkurugenzi wa Chura Fashion akiwa na mteja
Pamba za kiume
Pamba za madada
Majembe ya Tabora.
Flat shoes kali za madada
Miguu mikali kwa majembe!
The man himself  director ma man Mashaka Chura

Kitale, Dyna na Kala Jeremaya wapagawisha Tabora

Kala Jeremaya mwingine!

Kala Jeremaya akiwarusha wapenzi wake katika ukumbi wa Royal Garden






Msanii wa vichekesho na muziki Kitale akifanya vitu vyake jukwaani Royal Garden Tabora.
Wasanii wa muziki wa kizazi kipya Bongo Flava Kitale, Dyna na Kala Jeremaya jumamosi ya tarehe 6/4/2013 walitoa burudani safi katika manispaa ya Tabora ndani ya ukumbi wa Royal Garden. Onesho hilo ambalo lilifana sana pamoja na kuhudhuriwa na watu wachache kutokana na hali ya hewa kutishia mvua kunyesha amabapo mnammo majira ya saa 2 usiku manyunyu yalidondoka katika maeneo mengi mjini Tabora.
Baadhi ya washabiki wa Kitale wakifurahia show
Dyna akiwa na mshabiki mmoja aliyemwita jukwaani kuimba naye

Mziki kunoga!


Yupi Cristiano na yupi ni Ronaldo?

Ama kweli duniani wawili wawili

Shindano la Miss Tanzania lazinduliwa rasmi jana

Miss Tabora 2013 Sarah Paul (in blue)akiwa na warembo wengine jana
Shindano la Miss Tanzania 2013 lilizinduliwa rasmi jana usiku katika hoteli ya Serena (Moven Pick) ambapo kamati ya Miss Tanzania ikishirikiana na mdhamni mkuu wa shindano hilo TBL kupitia kinywaji chake cha Redds Premium cold
Banana Zorro wa B Banda akitoa burudani jana usiku

Miss Tanzania 2012/13 Brigitte Alfred katikati akiwa na warembo wenzake

ZILIPENDWA: Faraja Kotta kulia na Nancy Sumari wakiwa na mdau wa fani urembo

Gari inauzwa!


Toyota Rav 4 inauzwa: 
2002 Model, 14,000 Milleage,1998Cc, Full ac, cd radio, Leather seats, Sun roof. For more details please inbox me on facebook or call 0754666620

Miss Tanzania 2012/13 Brigitte Alfred

Mkurugenzi wa Miss Tanzania Bw Hashim Lundenga akisisitiza jambo katika semina ya mawakala iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika hoteli ya Girraffe jijini Dar. Aliyeketi kushoto kwake ni Miss Tanzania 2012/13 Brigitte Alfred.
Wonderful!