mkalamatukio

Kauli ya Sergio Ramos kuiambia Real Madrid anataka kujiunga na Manchester United yawakuna wengi!

Mlinzi mahiri wa kilabu cha Real Madrid Sergio Ramos amuambia uongozi wa kilabu hicho nguli kuwa anataka kujiunga na Manchester United na si vinginevyo kitendo hicho kimewapendeza mashabiki wengi wa soka hasa nchini England ambao wanaichukulia...
Soma Zaidi..

Wana jumuiya ya Kinondoni kuteua viongozi baada ya mfungo wa Ramadhani!

Wanajumuiya wa kikundi cha Kinondoni wakibadilishana mawazo baada ya mazishi ya marehemu George Nganda Mratibu wa kikundi cha wana Kinondoni Bw Ivan Minja amesema kikundi hicho kitateua vingozi wa muda katika kikao kitakachofanyika...
Soma Zaidi..

Picha mbali mbali katika mazishi ya George Nganda!

Toka kushoto ni Dada July Kitundu, Dada Rita na Mama Desouza Majonzi yatawala makaburini! Kamanda wa CCM tawi la Kinondoni Bwawani Bw Steve Nyerere kulia akiwa na wadau wengine Msanii Hard Mad naye alihudhuria mazishi Wadau...
Soma Zaidi..