Picha mbali mbali katika mazishi ya George Nganda!

Picha mbali mbali katika mazishi ya George Nganda!


Toka kushoto ni Dada July Kitundu, Dada Rita na Mama Desouza


Majonzi yatawala makaburini!

Kamanda wa CCM tawi la Kinondoni Bwawani Bw Steve Nyerere kulia akiwa na wadau wengine

Msanii Hard Mad naye alihudhuria mazishi

Wadau wa Pazi club











Issa Mndeme na Mratibu wa Kundi la wana Kinondoni Ivan Minja wakiweka shada la maua ktk kaburi

Florah Mwakpesile na Florah Samuel




Picha na Abdul Kazembe na Mkala Fundikira