mkalamatukio

Kitale, Dyna na Kala Jeremaya wapagawisha Tabora

Kala Jeremaya mwingine! Kala Jeremaya akiwarusha wapenzi wake katika ukumbi wa Royal Garden Msanii wa vichekesho na muziki Kitale akifanya vitu vyake jukwaani Royal Garden Tabora. Wasanii wa muziki wa kizazi kipya...
Soma Zaidi..

Yupi Cristiano na yupi ni Ronaldo?

Ama kweli duniani wawili wawili...
Soma Zaidi..

Shindano la Miss Tanzania lazinduliwa rasmi jana

Miss Tabora 2013 Sarah Paul (in blue)akiwa na warembo wengine jana Shindano la Miss Tanzania 2013 lilizinduliwa rasmi jana usiku katika hoteli ya Serena (Moven Pick) ambapo kamati ya Miss Tanzania ikishirikiana na mdhamni mkuu wa shindano...
Soma Zaidi..

Gari inauzwa!

Toyota Rav 4 inauzwa: 2002 Model, 14,000 Milleage,1998Cc, Full ac, cd radio, Leather seats, Sun roof. For more details please inbox me on facebook or call 07546666...
Soma Zaidi..

Miss Tanzania 2012/13 Brigitte Alfred

Mkurugenzi wa Miss Tanzania Bw Hashim Lundenga akisisitiza jambo katika semina ya mawakala iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika hoteli ya Girraffe jijini Dar. Aliyeketi kushoto kwake ni Miss Tanzania 2012/13 Brigitte Alfred. ...
Soma Zaidi..

Mja mzito ashangazwa na uso kujitokeza tumboni mwake

         Tumbo la Karen McMartin lionekanavyo kwa nje   Hali hii ingeweza kujitokeza katika scene za filamu za kutisha kama ile maarufu ALIEN. Lakini mama mtarajiwa Karen McMartin...
Soma Zaidi..

Mwaka 2012!

Waremboz!...
Soma Zaidi..