mkalamatukio

Picha mbali mbali katika mazishi ya George Nganda!

Toka kushoto ni Dada July Kitundu, Dada Rita na Mama Desouza Majonzi yatawala makaburini! Kamanda wa CCM tawi la Kinondoni Bwawani Bw Steve Nyerere kulia akiwa na wadau wengine Msanii Hard Mad naye alihudhuria mazishi Wadau...
Soma Zaidi..

Hatimaye George Nganda azikwa na mamia ya watu!

Mama wa marehemu(mwenye nguo nyeupe) Kijana George Nganda aliyefariki majuzi kuamkia juzi hatimaye leo hii majira ya saa 9 mchana alipumzishwa katika nyumba yake ya milele katika makaburi ya Kinondoni Fm. Mazishi hayo...
Soma Zaidi..

WANAHABARI WAPEWA SEMINA KUHUSU MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA

Kaimu Mkurugenzi Magonjwa Yasiyoambukiza wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Auson Rwehimbiza (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kwenye semina ya siku moja kuhusu magonjwa yasiyoambukiza. Kulia ni...
Soma Zaidi..

George Nganda afariki dunia!

George Nganda (38) mkazi na mzaliwa wa Kinondoni B Mtaa wa Isere alifariki dunia juzi usiku kuamkia jana baada ya kuugua mapafu. Akiongea na mtandao huu Bw Ivan Minja ratibu wa Kundi la wakazi na waliokuwa wakazi wa Kinondoni ameeleza...
Soma Zaidi..