Bandora Mirambo alipochukua fomu ya ubunge wa Tabora mjini mapema leo.

Bandora Mirambo alipochukua fomu ya ubunge wa Tabora mjini mapema leo.



Bandora Salum Mirambo akionesha fomu yake ya ubunge kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi
Mama Hidaya Rashid Amani katibu msaidizi wilaya akimuandikia risiti Bw Bandora.
Bandora Mirambo akitia sahihi katika kitabu cha kuchukulia fomu ya ubunge wa Tabora mjini.

Ada ya fomu!
Maelekezo!
Saidi Zaidi kulia na Juma Mgawe wakifuatilia kwa makaini makabidhiano ya fomu.

Mama Hidaya Rashid Amani akitoa maelekezo ya ujazaji fomu
Bandora akisalimiana na mdau nje ya ofisi za CCM Wilaya.
Apolo (kushoto) akiwa na Bandora Mirambo mara baada ya Bandora kuchukua fomu.
Bandora akipongezwa na kada wa chama baada ya kuchukua fomu ya ubunge kwa jimbo la Tabora mjini.
Bandora Mirambo akiwa na baadhi ya wapiga kura wa jimbo hilo waliomsindikiza kuchukua fomu katika ofisi za CCM  wilaya ya Tabora mjini.