Simba yashindwa kuunguruma Tanga!

Simba yashindwa kuunguruma Tanga!


Timu ya Simba leo jioni ilishindwa kuunguruma dhidi ya Coastal union ya jijini Tanga kkatika mchezo uliopooza hivyo kuendelea kusuasua katika ligi ya msimu huo. Pamoja na kuleta mashabiki wengi toka jijini Dar timu hiyo ya Msimbazi haikucheza vizuri sana.