| Mkurugenzi wa Lino International inayoratibu shindano la Miss Tanzania Bw Hashim Lungenga akisisitiza jambo alipokuwa akifungua semina ya mawakala wa Miss Tanzania 2014. |
| Kutoka kushoto ni katibu wa Miss Tanzania Bw Bosco Majaliwa, Mshauri wa ufundi Bw Ramesh Patel, Hashim Lundenga, Miss Tanzania 2013 Happiness Watimanywa na mshindi wa pili wa shindano hilo. |
| Miss Tanzania 2013 Happiness Watimanywa |
| Kutoka kushoto Bw Bosco Majaliwa, Ramesh Patel na Bw Hashim Lundenga |
| Wakala wa kituo cha Dar na Awetu wa gazeti la KIU |
| Baadhi ya mawakala wa Miss Higher Learning |
| Muandaaji wa Redds Miss Njombe, Miss Sylvia |
| Kutoka kushoto ni Miss Jacky, Tom Chilala wa star T na Khadija kalili wa Tanzania Daima |


