Wachezaji nguli wa soka wahoji kutochezeshwa Carrick jana

Wachezaji nguli wa soka wahoji kutochezeshwa Carrick jana

Michael Carrick Pass master!
Wachezaji nguli wa soka wa zamani wakiongozwa na Gary Linneker jana walihoji ni vipi mcheza wa daraja la juu kiungo wa Man United hakupangwa katika mechi ya Ukrayne dhidi ya England pamoja na England kuonesha wazi kushindwa kumiliki mpira kwa vipindi virefu katika mchezo huo, Linneker ambaye alipata kuzichezea Fc Barcelona ya Spain na Totenham Hotspurs ya jijini London aliandika kupitia ukurasa wake wa Twitter kama hivi
Kana kwamba haikutosha Lineker kushangazwa naye Dietmar Hamman aliyekuwa kiungo wa Liverpool na Man City
  kupitia mtandao huo huo naye ali tweet
Hamann naye alishangazwa na kukosekana Carrick katika kikosi cha England jana, katika hali ya kushangaza zaidi hata Roy Hodgson alipoamua kumpumzisha Jack Wilshere na kuamua kumuingiza Ashley Young ambaye si kiungop wa kati wakati Carrick alikuwepo benchini na England ilimuhitaji kwa kushindwa kumiliki mpira. Hata hivyo England ilifanikiwa kutoka sare na hivyo kuendelea kuongoza kundi H kwa pointi 16.