Ilikuwa balaaaa!

Ilikuwa balaaaa!

Keyboy na Dj maarufu Ommy Composer
 Siku ya Alhamisi tarehe ya tarehe 2/04/2013 bendi maarufu ya Mapacha Watatu ilitumbuiza mjini Tabora katika ukumbi wa Frankman Palace ambapo mambo mengi yalijiri ikiwemo vituko hebu jionee mwenyewe!
Kanyaga twende!
Meneja wa bendi Hamis Dakota akijimwaga na mmoja wa washabiki waliohudhuria onesho hilo
Mwango aka Benny Ngwasuma akiserebuka na Mariam Zidane
Hamis Dakota, tena akijiachia na mdada mwenye makeke mengi!
Sichezi na shemeji: Jose Mara aligoma kucheza na mwanadada ambaye ilidaiwa ni shemeji yake.
Wadau wakimcheka Jose Mara wa Kimara kwa kugoma kukamatia.

Baunsa Muddy naye alionja raha ya kukamatia,  Duh sijui Muddy alilpata usingizi?
Duh cheki! Juma Kapipi aduwaa!

Mbona hujaniimba Khalid?
Uuuuuuuh! Ngoma inogile! Mikono juu!
Papaa Biggie na Mariam Zidane waki pozi kwa snap!
Uzinduzi wa albam Yarabi nafsi!