![]() |
| Keyboy na Dj maarufu Ommy Composer |
![]() |
| Kanyaga twende! |
![]() |
| Meneja wa bendi Hamis Dakota akijimwaga na mmoja wa washabiki waliohudhuria onesho hilo |
![]() |
| Mwango aka Benny Ngwasuma akiserebuka na Mariam Zidane |
![]() |
| Hamis Dakota, tena akijiachia na mdada mwenye makeke mengi! |
![]() |
| Sichezi na shemeji: Jose Mara aligoma kucheza na mwanadada ambaye ilidaiwa ni shemeji yake. |
![]() |
| Wadau wakimcheka Jose Mara wa Kimara kwa kugoma kukamatia. |
![]() |
| Baunsa Muddy naye alionja raha ya kukamatia, Duh sijui Muddy alilpata usingizi? |
![]() |
| Duh cheki! Juma Kapipi aduwaa! |
![]() |
| Mbona hujaniimba Khalid? |
![]() |
| Uuuuuuuh! Ngoma inogile! Mikono juu! |
![]() |
| Papaa Biggie na Mariam Zidane waki pozi kwa snap! |
![]() |
| Uzinduzi wa albam Yarabi nafsi! |















