mkalamatukio

Mh Iddi Azzan azindua kampeni za ubunge Kinondoni kwa kishindo!


Mh Iddi Azan akihutubia umti ulifurika katika viwanja vya CCM Mwinjuma, Mwananyamala jijini Dar leo jioni.
Mh Iddi Azan leo hii alizindua kampeni ya ubunge wa jimbo la Kinondoni ambapo yeye ndiye mgombea aliyeteuliwa na CCM kuiwakilisha katika uchguzi mkuu unaotarajiwa kufanyikwa tarehe 25 ya Mwezi Oktoba 2015.

 Katika uzinduzi huo uliofana ambapouliopambwa na bendi maarufu ya Twanga pepeta na wasanii luluki akiwemo Tunda Man toka TIP TOP connection na Bonge la nyau, Mh Azan alielezea maendeleo yaliyopatikana katika muda ambao yeye amekuwa mbunge wa jimbo hilo ni pamoja na miundo mbinu ya ya barabara na afya ambapo ameahidi kuwa iwapo atchaguliwa tena kuwa mbunge wa jimbo hilo atahakikisha barabara zote kubwa zinatiwa lami kwa kuwa pesa tayari zimeptikamna toka world bank na atahakikisha wodi za kina mama waja wazito zinaongezwa ili kupunguza msongamano katika wodi hizo.

Uzinduzi huo pia ulishuhudia wanachama wawili nguli wa Chama cha wananchi CUF wakirudisha kadi zao na kujiunga na CCM kitendo ambacho kiliamsha hamasa kubwa miongoni mwa wanchama na wapenzi wa CCM chama tawala.
Mwenekiti wa CCM wilaya ya Kinondoni akimnadi Mh Iddi Azan kwa maelfu ya watu waliohudhuria katika uzinduzi huo.
 Mstahiki meya wa wilaya ya Kinondoni Mh Yusuf Mwenda akiwapa vidonge Ukawa.

 Meya mstaafu wa Manispaa ya Kinondoni, Salum Londa akimwaga sera za CCM mbele ya umati wa wanachama wa chama hicho na wananchi waliofurika viwanjani hapo.
 Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Kinondoni, Salum Madenge
Mgombea udiwani kata ya Mwananymala Mh Songoro Mnyonge akaitambulishwa kwa wananchi
Mgombea udiwani wa kata ya Kijitonyama  Mh Kamugisha akitambulshwa na Mwenuekiti wa CCM wilaya ya Kinondoni
Mgombea udiwani kata ya Tandale Bw Tamimu akitema vidonge kwa wapinzani.
Bw Massawe mgombea udiwani kata ya Ndugumbi.
 Mgombea Udiwani kata ya Magomeni Ndugu bujugo
Mwenekiti wa CCM wilaya ya Kinondoni akipokea kadi ya CUF toka kwa bibi kada wa chama hicho ambaye alidai hajaona manufaa yeyote kuwepo katika chama hicho ambapo alijitoa rasmi na kurudi CCM.
Bibi akiwapungia mashabiki wa CCM baada ya kurudisha kadi ya chama cha wananchi CUF kwa mwenekiti wa CCM wilaya ya Kinondoni Nd Madenge.
Mzee Dalali akihutubia mamia ya watu waliohudhuria mkutano huo ambao mwenyewe alidai umati ulifikia watu laki 250.









Wasanii wa kizazi kipya Tundaman na Bonge la Nyau wakitumbuiza mara baada ya Mkutani kwisha
Mh Iddi Azan akiaga mashabiki wake baada ya kumaliza kuhutubia katika viwanja vya  CCm Mwinjuma Mwananyamala leo hii jioni.

Picha na Geophrey Adroph habari na Mkala Fundikira

Bi. Samia Suluhu Afunika Mkutano wa Kampeni Kibaha


WanaCCM na wapenzi wa chama hicho wakiwa katika mkutano wa kampeni uliofanyika Wilaya ya Kisarawe, ambapo mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Bi, Samia Suluhu (hayupo pichani) alihutubia
Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho wakiwa wamefurika katika mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa urais tiketi ya CCM, Bi. Samia Suluhu (hayupo pichani) uliofanyika Kibaha Mkoa wa Pwani leo.

Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho wakiwa wamefurika katika mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa urais tiketi ya CCM, Bi. Samia Suluhu (hayupo pichani) uliofanyika Kibaha Mkoa wa Pwani leo.
WanaCCM na wapenzi wa chama hicho wakiwa katika mkutano wa kampeni uliofanyika Wilaya ya Kisarawe, ambapo mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Bi, Samia Suluhu (hayupo pichani) alihutubia.
WanaCCM na wapenzi wa chama hicho wakiwa katika mkutano wa kampeni uliofanyika Wilaya ya Kisarawe, ambapo mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Bi, Samia Suluhu (hayupo pichani) alihutubia.
Mmoja wa wasanii wa kugani mashairi akiwaburudisha wanaCCM na wapenzi wa chama hicho wakiwa katika mkutano wa kampeni uliofanyika Wilaya ya Kisarawe, ambapo mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Bi, Samia Suluhu (hayupo pichani) alihutubia.
Mjumbe wa Kamati ya kampeni Taifa ya CCM, Anjela Kairuki, akizungumza kumnadi mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Bi, Samia Suluhu (hayupo pichani) kwenye mkutano wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho wakiwa katika mkutano wa kampeni uliofanyika Wilaya ya Kisarawe.
Kikundi cha akinamama wajasiliamali na utamaduni kutoka Temeke kikitoa burudani kwa umati na mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais,  katika mkutano wa kampeni uliofanyika Wilaya ya Kisarawe.

Mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Bi, Samia Suluhu (kulia) akizungumza jambo na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Pwani, Subira Mgalu katika mkutano wa kampeni uliofanyika Wilaya ya Kisarawe leo.
Aliyekuwa mbunge wa Nkenge na mjumbe wa kamati ya kampeni za mgombea mwenza wa CCM, Bi. Asumpta Mshama (katikati) akiwagawia zawadi ya kanga wanakikundi cha akinamama wajasiriamai cha Temeke katika mkutano wa kampeni uliofanyika Wilaya ya Kisarawe leo.
Vijana wakiburudisha umati wa wanaCCM katika mkutano wa kampeni uliofanyika Wilaya ya Kisarawe leo.
Mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Bi. Samia Suluhu (kulia) akimnadi mgombea ubunge wa Jimbo la Kisarawe, Seleman Said Jafo (kulia) katikati ni mgombea udiwani, Mwishehe Mlao mkoani Pwani.
Baadhi ya wagombea nafasi za udiwani CCM Jimbo la Kisarawe, mkoani Pwani wakitambulishwa katika mkutano wa kampeni. 
Mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Bi, Samia Suluhu (kulia) akipewa zawadi na baadhi ya akinamama mara baada ya mkutano wa kampeni uliofanyika Wilaya ya Kisarawe leo.
Mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Bi, Samia Suluhu (kulia) akipewa zawadi na baadhi ya akinamama mara baada ya mkutano wa kampeni uliofanyika Wilaya ya Kisarawe leo.
Mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Bi, Samia Suluhu (kulia) akipewa zawadi na baadhi ya akinamama mara baada ya mkutano wa kampeni uliofanyika Wilaya ya Kisarawe leo.
Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho wakiwa wamefurika katika mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa urais tiketi ya CCM, Bi. Samia Suluhu (hayupo pichani) uliofanyika Kibaha Mkoa wa Pwani leo.
Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho wakiwa wamefurika katika mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa urais tiketi ya CCM, Bi. Samia Suluhu (hayupo pichani) uliofanyika Kibaha Mkoa wa Pwani leo.
Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho wakiwa wamefurika katika mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa urais tiketi ya CCM, Bi. Samia Suluhu (hayupo pichani) uliofanyika Kibaha Mkoa wa Pwani leo.
Msanii Snura (katikati) akitoa burudani kwa Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho katika mkutano wa kampeni leo.
Msanii Snura (katikati) akitoa burudani kwa Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho katika mkutano wa kampeni leo.
Wema Sepetu akizungumza na Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho katika mkutano wa kampeni leo.
Chipukizi wa CCM wakitoa burudani katika mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa urais tiketi ya CCM, Bi. Samia Suluhu (hayupo pichani) uliofanyika Kibaha Mkoa wa Pwani leo.
Mgombea ubunge wa Jimbo la Kibaha Mjini, Koka Francis (kulia) akizungumza jambo na mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais Bi. Samia Suluhu. 
Mgombea mwenza wa urais tiketi ya CCM, Bi. Samia Suluhu akipokea kadi ya CHADEMA toka kwa Katibu wa Hamasa Taifa wa CHADEMA, Bwana Nyakarungu (kulia) mara baada ya kujiunga CCM leo.
Mgombea ubunge wa Jimbo la Kibaha Mjini, Koka Francis akimvalisha sare za CCM Katibu wa Hamasa Taifa wa CHADEMA, Bwana Nyakarungu mara baada ya kujiunga CCM leo.
Kada wa CHADEMA na Katibu wa Hamasa Taifa wa CHADEMA, Bwana Nyakarungu (katikati) akizungumza na wanaCCM na wapenzi wa chama hicho mara baada ya kukihama chama hicho na kwenda CCM na kuvalishwa sare za CCM.
Raha ujipe mwenyewe bana..! Mgombea ubunge wa Jimbo la Kibaha Mjini, Koka Francis akijinasibu kwenye mkutano huo.
Kada wa CHADEMA na Katibu wa Hamasa Taifa wa CHADEMA, Bwana Nyakarungu akizungumza na wanaCCM na wapenzi wa chama hicho mara baada ya kukihama chama hicho na kwenda CCM na kuvalishwa sare za CCM.

Mgombea mwenza wa urais tiketi ya CCM, Bi. Samia Suluhu (katikati) akimtambulisha mgombea ubunge wa Jimbo la Kibaha Mjini, Koka Francis (kulia) katika mkutano wa kampeni uliofanyika Kibaha Mkoa wa Pwani leo.
*Picha zote/www.thehabari.com

Pombe Yahusishwa, Ajali Mbaya ya Bodaboda..! Askari Nao Jee..?

Kamera ya mtandao huu imelimulika tukio baya la ajari iliyohusisha pikipiki mbili eneo la Club Royal karibu na lango la kuingilia chuo cha Utumishi wa Umma cha Tabora zamani UHAZILI.

Mfuatiliaji wa tukio alibainisha dereva mmoja alikuwa anatokwa na harufu ya pombe kitu kilichodhihirisha kuwa alikuwa amelewa huku kamchukua abiria na akiendesha chombo cha moto.

Mashuhuda waliuambia mtandao huu kuwa wanalalamikia jeshi la polisi kuto kujitokeza mapema eneo la tukio licha ya kuwa hapana umbali unaozidi mita 100 kutoka eneo la tukio, mfuatiliaji wa tukio aliwahoji kama kuna yeyote aliyetoa taarifa kituoni dhidi ya tukio hilo lakini hakupata majibu.
Kasendeka, mhanga wa ajali iliyohusisha pikipiki mbili maarufu kama bodaboda.
Kasendeka, mhanga wa ajali iliyohusisha pikipiki mbili maarufu kama bodaboda eneo ilipo Club Royal karibu na lango kuu la kuingilia Chuo Cha Utumishi cha Tabora zamani kikifaahamika kama UHAZILI.
Kasendeka akiwa anazinduka ziduka, akili inakuja baada ya kuzimia kwa muda kidogo kufuatia ajali iliyohusisha pikipiki mbili eneo la ilipokuwa Club Royal.
Kasendeka akiwa anazinduka ziduka, akili inakuja baada ya kuzimia kwa muda kidogo kufuatia ajali iliyohusisha pikipiki mbili eneo la Club Royal karibu na lango/ geti la kuingilia Chuo Cha Utumishi wa Umma zamani UHAZILI.
Ajali-bodaboda-tabora (5)
Abiria na mhanga wa ajali hiyo akiwa anaugulia maumivu baada ya ajali iliyotokea muda mfupi maeneo ya Club Royal karibu na geti kuu la kuingilia Chuo Cha Utumishi wa Umma zamani UHAZILI
Abiria na mhanga wa ajali hiyo akiwa anaugulia maumivu baada ya ajali iliyotokea muda mfupi maeneo ya Club Royal karibu na geti kuu la kuingilia Chuo Cha Utumishi wa Umma zamani UHAZILI
Ajali-bodaboda-tabora (2)
Ajali-bodaboda-tabora (3)
Mashuhuda wa tukio la ajali iliyohusisha pikipiki mbili maeneo ya Club Royal
Mashuhuda wa tukio la ajali iliyohusisha pikipiki mbili maeneo ya Club Royal
Kasendeka akiwa anaangalia pikipiki yake baada ya ajali hiyo muda mfupi alipozinduka.
Kasendeka akiwa anaangalia pikipiki yake baada ya ajali hiyo muda mfupi alipozinduka.
Askari wa Jeshi la usalama barabarani akijongea eneo la tukio. Inakadiriwa ni zaidi ya dakika 15 au zaidi zilipita ndipo askari alijitokeza eneo la tukio licha ya tukio hilo kutokea umbali wa mita za makadirio zisizozidi 100.
Askari wa Jeshi la usalama barabarani akijongea eneo la tukio. Inakadiriwa ni zaidi ya dakika 15 au zaidi (Kwa mujibu wa mashuhuda) zilipita ndipo askari alijitokeza eneo la tukio licha ya tukio hilo kutokea umbali wa mita za makadirio zisizozidi 100 kutoka kituo kukuu cha Polisi mjini Tabora.
Askari akifuatilia tukio hilo baada ya dakika zinazokadiriwa na mashuhuda wa tukio kuwa ni zaidi ya 15 toka ajari imetokea.
Askari akifuatilia tukio hilo baada ya dakika zinazokadiriwa na mashuhuda wa tukio kuwa ni zaidi ya 15 toka ajari imetokea.
Askari akimhoji Kasendeka kabla ya kwenda naye kituoni huku mhanga mmojawapo kuwa tayari alishakimbia eneo la tukio na kuisaliti pikipiki eneo la tukio.
Askari akimhoji Kasendeka kabla ya kwenda naye kituoni huku mhanga mmojawapo kuwa tayari alishakimbia eneo la tukio na kuisaliti pikipiki eneo la tukio.
Ajali-bodaboda-tabora (1)
Picha na Aloyson