mkalamatukio

Prof Mark Mwandosya asaka wadhamini Kilimanjaro


Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro ,Leonidas Gama akisalimiana na Waziri wa nchi,Ofisi ya Rais(Kazi Maalum) Prof,Mark Mwandosya mara baada ya kufika ukumbi wa mikutano wa mkoa wa Kilimanjaro wakati akiwa njiani kutafuta wadhamini.
Prof,Mwandosya akiteta jambo na RC Gama mara baada ya kukutana.
Prof,Mark Mwandosya akisalimiana na Naibu Waziri wa Ardhi,Nyumba na Makazi ,Angela Kairuki walipokutana katika ukumbi wa mikutano wa mkoa wa Kilimanjaro.
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro akimpatia kipaza sauti Prof Mwandosya asalimie wajumbe waliokuwa katika ukumbi huo.
Profesa Mwandosya akizungumza katika ukumbi huo.
Prof Mwandosya akitoka katika ukumbi wa mikutano wa mkoa wa Kilimanjaromara bada ya kusalimia.
Prof, Mwandosya akiagana na mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro ,Leonidas Gama mara baada ya kusalimia .
Prof,Mark Mwandosya akiondoka ukumbini hapo kuendelea na safari ya kusaka wadhamini mkoani Arusha.

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii kanda ya Kaskazini.

Pamoja na kukosa tunzo ya Kili ki mizengwe Christian Bela apagawisha Tabora!

Christian Bella akijimwaga jukwaani.
Masaa machache baada ya kukosa kitatanishi tunzo ya wimbo bora wa mwaka katika Kili Music Awards Christian Bela (King of melodies) alipagawisha wapenzi wa muziki mjini Tabora alipoporomosha bonge la show akiwa na kundi zima la Malaika Band. Christian Bela alitarajiwa na  wadau wa muziki nchini kuwa angebeba tunzo hiyo bila ushindani mkubwa kutokana na wimbo wake wa Nani kama mama ambao aliomshirikisha Ommy Dimpoz kutamba sana katika vituo vyote vya redio na Runinga hapa nchini, lakini kama kawaida ya tunzo hizo zinazosimamiwa na BASATA na kudhaminiwa na kampuni ya utengenezaji bia ya Tanzania TBL zimekuwa zikilalamikiwa kila mwaka huku waanadaaji wakioneka kuweka pamba mbichi masikioni. Tunzo hiyo ya wimbo bora wa mwaka ilienda kwa wimbo wa Mwana wa msanii Ali Kiba. Onesho hilo lilifanyika katika viwanja vya Bwalo la Polisi Tabora.
Bella akifanya yake jukwaani.

Mashabiki wa Malaika Band wakpozi
Hapo sasa!


Baadhi ya mashabiki wakijmwaga!


Music Producer Dula K kulia na msanii Masha Kay kushoto wakiwa na mdau.

Wacha wee Benny Ngwasuma akijiachia



Papaa Allex Ntonge mwaya mwaya!

Picha na habari na Mkala Fundikira TBN CENTRAL ZONE

Makamba alivyovunja rekodi ya mapokezi na wadhamini Iringa


Mh. January Makamba akiagana na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa, Bi Jesca Mambatavangu mara baada ya January kusaini kitabu cha wageni katika ofisi za Chama.
Mchngaji Kiwanga wa Iringa mjini akimkaribisha Mh. January Makamba na Mkewe katika ofisi za CCM mkoa wa Iringa. Mchngaji huyo alimwombea na kumpa baraka zote za kugombea nafasi ya urais kupitia CCM.
Baadhi ywa wanachama wa Waendesha Bodaboda waliojitokeza kumpokea na kumsapoti Mh. January Makamba katika zoezi lake la kusaka wadhamini ndani ya chama ili aweze kupewa ridhaa ya kugombea nafasi ya urais kupitia Chama Cha Mapinduzi.
Mh. January Makamba na Mkewe wakisalimiana na baadhi ya vijana na wanachama wa CCM mara baada ya kuwasili katika ofisi za CCM wiliya ya Iringa Mjini.
Mh. January Makamba na Mkewe wakiwapungia mkono baadhi ya vijana na wanachama wa CCM waliofika kumsapoti mara baada ya kuwasili katika ofisi za CCM wiliya ya Iringa Mjini.
Mh. January Makamba akiweka sahihi katika kitabu cha wageni katika ofisi za CCM wilaya ya Iringa Mjini. Aliyesmama kulia kwake ni Katibu wa CCM wilaya ya Iringa Mjini, Zongo Lobe Zongo na kushoto kwake ni mwenyekiti wa CCM wilaya ya Iringa Mjini, Abeid Kiponza.
Mh. January Makamba akipunga Mkono kwa wanachama wa Iringa waliokuja kumuunga mkono mara baada ya kutoka kuewka sahihi katika kitabu cha wageni katika ofisi za CCM wilaya ya Iringa Mjini.
Badhi ya vijana wa Iringa waliohuria katika viwanja vya ofisi ya CCM wilaya ya Iringa Mjini wakimsikiliza Mh. January Makamba huku wakiwa wamebeba mabango yenye ujumbe tofauti tofauti.
Mh. January Makamba na Mkewe wakiimba pamoja na wanachama wa CCM waliojitokeza katika viwanja vya ofisi ya CCM wilaya ya Iringa Mjini katika kumsapoti na kumdhamini kumuwezesha kushinda katika kinyang'anyiro cha kupewa ridhaa ya kugombea urais kupita CCM.
Mh. January Makamba akikabidhiwa fomu yenye majina ya wanachama waliomdamini na Mwenyekiti wa CCM wilya, Abeid Kiponza. Fomu hiyo in idadi ywa wanachama 630 waliojitokeza kumdhamini ikiwa ni kutoka wilaya ya Iringa Mjini na Kilolo.
Mh. January Makamba akihutubia wananchi na wanachama wa CCM wilaya ya Iringa Mjini walijitokeza kumsapoti na kumdhamini. January amepata sahihi 630 za wanachama wa CCM kumdhamini, idadi hiyo ni ya wilaya ya Iringa Mjini na wilaya ya Kilolo. Picha Zote na Mpigapicha Wetu.

JK ALOPOKUTANA NA WATANZANIA WAISHIO UHOLANZI JIJIJINI THE HAGUE


Sonigwe(red top) akisubiri kusalimiana na Mh Rais Kikwete alipokutana na wa Tazania wanaoishi Holland
 Watanzania waishio Uholanzi walikusanyika siku ya Jumatatu Juni 9, 2015 katika hoteli ya Crowne Plaza jijini The Hague kukutana na kumsikiliza Rais Jakaya Mrisho Kikwete aliyekuwa nchini humo kwa mwaliko wa Mfalme Willem-Alexander
 Wajumbe walioongozana na Rais Kikwete katika ziara hiyo
 Sehemu ya umati wa Watanzania waishio Uholanzi
 Sehemu ya umati wa Watanzania waishio Uholanzi
 Sehemu ya umati wa Watanzania waishio Uholanzi
 Sehemu ya umati wa Watanzania waishio Uholanzi
 Sehemu ya umati wa Watanzania waishio Uholanzi
 Ujumbe wa Rais Kikwete
 Balozi wa Tanzania nchini Uholanzi Mhe. William Masilingi akimkaribisha mgeni
 Sehemu ya umati wa Watanzania waishio Uholanzi
 Sehemu ya umati wa Watanzania waishio Uholanzi
 Wadau wa Uholanzi wakiwa na furaha kumuona JK
 Sehemu ya umati wa Watanzania waishio Uholanzi
 Sehemu ya umati wa Watanzania waishio Uholanzi
 Sehemu ya umati wa Watanzania waishio Uholanzi
 Sehemu ya umati wa Watanzania waishio Uholanzi
 Sehemu ya umati wa Watanzania waishio Uholanzi
 Sehemu ya umati wa Watanzania waishio Uholanzi wakiimba wimbo wa Taifa
  Sehemu ya umati wa Watanzania waishio Uholanzi wakiimba wimbo wa Taifa
  Sehemu ya umati wa Watanzania waishio Uholanzi wakiimba wimbo wa Taifa
  Sehemu ya umati wa Watanzania waishio Uholanzi wakiimba wimbo wa Taifa
  Sehemu ya umati wa Watanzania waishio Uholanzi wakiimba wimbo wa Taifa
  Mama Balozi na wageni wakiimba  wimbo wa Taifa
 Rais Kikwete akisalimiana na Watanzania waishio Uholanzi
  Rais Kikwete akisalimiana na Watanzania waishio Uholanzi
  Rais Kikwete akisalimiana na Watanzania waishio Uholanzi

  Rais Kikwete akisalimiana na Watanzania waishio Uholanzi
  Rais Kikwete akisalimiana na Watanzania waishio Uholanzi
  Rais Kikwete akisalimiana na Watanzania waishio Uholanzi
 Wadau wa Uholanzi
 Sehemu ya umati wa Watanzania waishio Uholanzi
 Sehemu ya umati wa Watanzania waishio Uholanzi
 DJ Khatibu akikorofisha mambo
 Sehemu ya umati wa Watanzania waishio Uholanzi
 Sehemu ya umati wa Watanzania waishio Uholanzi
 Sehemu ya umati wa Watanzania waishio Uholanzi
  Rais Kikwete akisalimiana na Watanzania waishio Uholanzi
  Rais Kikwete akisalimiana na Watanzania waishio Uholanzi
  Rais Kikwete akisalimiana na Watanzania waishio Uholanzi
   Rais Kikwete akisalimiana na Watanzania waishio Uholanzi
   Rais Kikwete akisalimiana na Watanzania waishio Uholanzi
   Rais Kikwete akisalimiana na Watanzania waishio Uholanzi
   Rais Kikwete akisalimiana na Watanzania waishio Uholanzi
   Rais Kikwete akisalimiana na Watanzania waishio Uholanzi
   Rais Kikwete akisalimiana na Watanzania waishio Uholanzi
   Rais Kikwete akisalimiana na Watanzania waishio Uholanzi
  Waziri wa Ardhi Maji Nishati na Makaazi wa Zanzibar Mhe. Ramadhani Abdalla Shaban akitambulishwa
 Sehemu ya wageni waalikwa
 Wafanyakazi katika Ubalozi wa Tanzania The Hague
 Baadhi ya maafisa waandamizi wa Tanzania
  Sehemu ya umati wa Watanzania waishio Uholanzi
 Kiongozi wa Jumuiya ya Watanzania Uholanzi akisoma risala yao
 Sehemu ya ujumbe wa Rais Kikwete
 Sehemu ya ujumbe wa Rais Kikwete
 Mtanzania anayeendesha shirika lisilo la kiserikali linalotoa misaada Tanzania akitambulishwa
  Mtanzania anayeendesha shirika lisilo la kiserikali linalotoa misaada Tanzania akitambulishwa
  Mtanzania anayeendesha shirika lisilo la kiserikali linalotoa misaada Tanzania akitambulishwa
 Rais Kikwete akimpongeza kiongozi wa Jumuiya ya Watanzania bada ya kusoma risala
 Meza kuu ikifurahia muziki wa Tanzania ulipokuwa unaporomoshwa kuchagiza hafla hiyo
  Meza kuu ikifurahia muziki wa Tanzania ulipokuwa unaporomoshwa kuchagiza hafla hiyo
 Wajumbe wa kamati ya maandalizi wakipeleka zawadi kwa Rais Kikwete
  Meza kuu ikifurahia muziki wa Tanzania uliokuwa unaporomoshwa kuchagiza hafla hiyo
  Zawadi kwa Rais Kikwete
 Balozi Masilingi akielezea zawadi maalumu kwa Rais Kikwete
  Rais Kikwete akipokea zawadi maalumu ya Watanzania waishio Uholanzi toka kwa Balozi Masilingi
  Rais Kikwete akipokea zawadi maalumu ya Watanzania waishio Uholanzi toka kwa Balozi Masilingi
Rais Kikwete akisalimiana na mmoja wa Watanzania Uholanzi
  Picha ya Kumbukumbu
  Rais Kikwete akisalimiana na Watanzania waishio Uholanzi
  Rais Kikwete akisalimiana na Watanzania waishio Uholanzi
  Rais Kikwete akisalimiana na Watanzania waishio Uholanzi
 Rais Kikwete akipata picha za kumbukumbu na Watanzania waishio Uholanzi
  Rais Kikwete akipata picha za kumbukumbu na Watanzania waishio Uholanzi
  Rais Kikwete akipata picha za kumbukumbu na Watanzania waishio Uholanzi
  Rais Kikwete akipata picha za kumbukumbu na Watanzania waishio Uholanzi
  Rais Kikwete akipata picha za kumbukumbu na Watanzania waishio Uholanzi
  Rais Kikwete akipata picha za kumbukumbu na Watanzania waishio Uholanzi
  Rais Kikwete akipata picha za kumbukumbu na Watanzania waishio Uholanzi
  Rais Kikwete akipata picha za kumbukumbu na Watanzania waishio Uholanzi
  Rais Kikwete akipata picha za kumbukumbu na Watanzania waishio Uholanzi
  Rais Kikwete akipata picha za kumbukumbu na Watanzania waishio Uholanzi
  Rais Kikwete akipata picha za kumbukumbu na Watanzania waishio Uholanzi
  Rais Kikwete akipata picha za kumbukumbu na Watanzania waishio Uholanzi