KAMPUNI YA BONITE BOTTLERS YAMWAGA MSAADA KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO MOSHI VIJIJINI.
Meneja mwajiri wa kampuni ya Bonite Bottlers
,Joyce Sengoda akiwasalimia wananchi katika vijiji vya Mikocheni
,Kilungu na Chemchem vilivyofikwa na mafuriko hivi karibuni wakati
uongozi wa kampuni hiyo ulipofika kwa ajili ya kutoa
msaada.
Meneja...
Soma Zaidi..UNESCO YAAHIDI KUWASAIDIA WATANZANIA KUKABILI DHULUMA DHIDI YA WANAOISHI NA ALBINISM
Kiongozi wa ofisi na mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) nchini, Zulmira Rodrigues (kulia) akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo (kushoto) alipomtembelea ofisini...
Soma Zaidi..Mohamed Dewji akutana na Rais wa Msumbiji!
CEO wa Makampuni ya MeTL Group na Mbunge wa Jimbo la Singida mjini, Mh. Mohammed Dewji (kulia) katika picha ya pamoja na Rais wa Mozambique, Mh. Filipe Nyusi walipokutana jijini Dar es Salaam.
CEO wa Makampuni ya MeTL Group na...
Soma Zaidi..MAPINDUZI YAFELI BURUNDI
Mnamo 13 mwezi May jenerali mmoja wa jeshi alitangaza katika redio ya taifa kwamba rais wa Burundi amepinduliwa na kwamba serikali ya mpito itabuniwa.Lakini msemaji wa rais alikana habari hizo akidai kuwa kulikuwa na usaidizi mdogo katika...
Soma Zaidi..Imetosha foundation yatoa msaada kwa kituo cha Buhangija, Shinyanga!
Toka kushoto ni Kathrin Hoff, kijana Paulo, Masoud Kipanya na Balozi Henry Mdimu.
Taasisis ya Imetosha ya jijini Dar es Salaam leo hii imepeleka misaada mbali mbali katika kijiji cha watoto wasioona cha Buhangija, Shinyanga ambacho...
Soma Zaidi..KADA WA CHAMA CHA MAPINDUZI ANSI MMASI ATOA MSAADA KWA WALIOATHIRIKA NA MFURIKO MOSHI VIJIJINI.
Chakula cha msaada kwa ajili ya wananchi
walio athirika na mafuriko wilaya ya Moshi vijijini kikushushwa katika
ofisi ya mkuu wa wilaya kwa ajili ya kwenda kukabidhiwa kwa
wahusika.
Kada wa Chama cha Mapinduzi Ansi Mmasi
akikabidhi...
Soma Zaidi..MKURUGENZI MUWSA ,MHANDISI CYPRIAN LUHEMEJA AWAAGA WAFANYAKAZI,NI BAADA YA KUHAMISHIWA DAWASCO.
Aliyekuwa mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji safi
na usafi wa Mazingira mjini Moshu (MUWSA) mhandisi Cyprian Luhemeja
akizungumza na wafanyakazi wa mamlaka hiyo ikiwa ni pamoja na kutoa
kauli ya kuwaaga baada ya kuteuliwa kushika nafasi...
Soma Zaidi..
Subscribe to:
Posts
(
Atom
)