Siku Mh Al Shaymaar Kweigir alipoweka uheshimiwa pembeni na kusema IMETOSHA!
Mh Al Shaymaar akicheza wimbo wa Imetosha na balozi Mdimu pamoja na baadhi ya watu waliohudhuria matembezi ya uhamasishaji wimbo huo uliimbwa na msanii wa reggae Jhikoman Manyika .
Siku ya matembezi ya uhamasishaji dhidi ya...
Soma Zaidi..Winga Adam Johnson atuhumiwa kubaka binti mdogo!
Mchezaji wa kiungo wa kilabu cha Sunderland Adam Johnson amesimamishwa na kilabu chake baada ya kukamatwa na polisi kwa tuhuma za kujamiiana na msicha mwenye umri wa miaka (15).
Winga huyo mwenye miaka (27) anasadikika kupokea pauni 50,000...
Soma Zaidi..Tafrija ya Tanzania bloggers yafana Serena hotel!
Mwenyekiti wa Mtandao wa mabloga Tanzania Bw Joachim Mushi (The habari blog) akisisitiza jambo wakati akiwakaribisha wageni waalikwa na mgeni rasmi.
Mgeni rasmi katibu mtendaji wa MCT Bw Kajubi Mukajanga na Blogger Othman Maulid(Zanzibar...
Soma Zaidi..
Subscribe to:
Posts
(
Atom
)