JK ALOPOKUTANA NA WATANZANIA WAISHIO UHOLANZI JIJIJINI THE HAGUE
![]() |
Sonigwe(red top) akisubiri kusalimiana na Mh Rais Kikwete alipokutana na wa Tazania wanaoishi Holland |

Watanzania waishio Uholanzi walikusanyika siku ya Jumatatu Juni 9, 2015 katika hoteli ya Crowne Plaza jijini The Hague kukutana na kumsikiliza Rais Jakaya Mrisho Kikwete aliyekuwa nchini humo kwa mwaliko wa Mfalme Willem-Alexander

Wajumbe walioongozana na Rais Kikwete katika ziara hiyo

Sehemu ya umati wa Watanzania waishio Uholanzi

Sehemu ya umati wa Watanzania waishio Uholanzi

Sehemu ya umati wa Watanzania waishio Uholanzi

Sehemu ya umati wa Watanzania waishio Uholanzi

Sehemu ya umati wa Watanzania waishio Uholanzi

Ujumbe wa Rais Kikwete

Balozi wa Tanzania nchini Uholanzi Mhe. William Masilingi akimkaribisha mgeni

Sehemu ya umati wa Watanzania waishio Uholanzi

Sehemu ya umati wa Watanzania waishio Uholanzi

Wadau wa Uholanzi wakiwa na furaha kumuona JK

Sehemu ya umati wa Watanzania waishio Uholanzi

Sehemu ya umati wa Watanzania waishio Uholanzi

Sehemu ya umati wa Watanzania waishio Uholanzi

Sehemu ya umati wa Watanzania waishio Uholanzi

Sehemu ya umati wa Watanzania waishio Uholanzi
Sehemu ya umati wa Watanzania waishio Uholanzi wakiimba wimbo wa Taifa

Sehemu ya umati wa Watanzania waishio Uholanzi wakiimba wimbo wa Taifa

Sehemu ya umati wa Watanzania waishio Uholanzi wakiimba wimbo wa Taifa

Sehemu ya umati wa Watanzania waishio Uholanzi wakiimba wimbo wa Taifa

Sehemu ya umati wa Watanzania waishio Uholanzi wakiimba wimbo wa Taifa

Mama Balozi na wageni wakiimba wimbo wa Taifa

Rais Kikwete akisalimiana na Watanzania waishio Uholanzi

Rais Kikwete akisalimiana na Watanzania waishio Uholanzi

Rais Kikwete akisalimiana na Watanzania waishio Uholanzi
Rais Kikwete akisalimiana na Watanzania waishio Uholanzi

Rais Kikwete akisalimiana na Watanzania waishio Uholanzi
Rais Kikwete akisalimiana na Watanzania waishio Uholanzi

Wadau wa Uholanzi

Sehemu ya umati wa Watanzania waishio Uholanzi

Sehemu ya umati wa Watanzania waishio Uholanzi

DJ Khatibu akikorofisha mambo

Sehemu ya umati wa Watanzania waishio Uholanzi

Sehemu ya umati wa Watanzania waishio Uholanzi

Sehemu ya umati wa Watanzania waishio Uholanzi

Rais Kikwete akisalimiana na Watanzania waishio Uholanzi

Rais Kikwete akisalimiana na Watanzania waishio Uholanzi



Rais Kikwete akisalimiana na Watanzania waishio Uholanzi

Rais Kikwete akisalimiana na Watanzania waishio Uholanzi

Rais Kikwete akisalimiana na Watanzania waishio Uholanzi
Rais Kikwete akisalimiana na Watanzania waishio Uholanzi
Rais Kikwete akisalimiana na Watanzania waishio Uholanzi
Rais Kikwete akisalimiana na Watanzania waishio Uholanzi
Rais Kikwete akisalimiana na Watanzania waishio Uholanzi

Waziri wa Ardhi Maji Nishati na Makaazi wa Zanzibar Mhe. Ramadhani Abdalla Shaban akitambulishwa

Sehemu ya wageni waalikwa

Wafanyakazi katika Ubalozi wa Tanzania The Hague

Baadhi ya maafisa waandamizi wa Tanzania

Sehemu ya umati wa Watanzania waishio Uholanzi

Kiongozi wa Jumuiya ya Watanzania Uholanzi akisoma risala yao

Sehemu ya ujumbe wa Rais Kikwete

Sehemu ya ujumbe wa Rais Kikwete

Mtanzania anayeendesha shirika lisilo la kiserikali linalotoa misaada Tanzania akitambulishwa
Mtanzania anayeendesha shirika lisilo la kiserikali linalotoa misaada Tanzania akitambulishwa

Mtanzania anayeendesha shirika lisilo la kiserikali linalotoa misaada Tanzania akitambulishwa

Rais Kikwete akimpongeza kiongozi wa Jumuiya ya Watanzania bada ya kusoma risala

Meza kuu ikifurahia muziki wa Tanzania ulipokuwa unaporomoshwa kuchagiza hafla hiyo

Meza kuu ikifurahia muziki wa Tanzania ulipokuwa unaporomoshwa kuchagiza hafla hiyo

Wajumbe wa kamati ya maandalizi wakipeleka zawadi kwa Rais Kikwete

Meza kuu ikifurahia muziki wa Tanzania uliokuwa unaporomoshwa kuchagiza hafla hiyo

Zawadi kwa Rais Kikwete

Balozi Masilingi akielezea zawadi maalumu kwa Rais Kikwete

Rais Kikwete akipokea zawadi maalumu ya Watanzania waishio Uholanzi toka kwa Balozi Masilingi

Rais Kikwete akipokea zawadi maalumu ya Watanzania waishio Uholanzi toka kwa Balozi Masilingi

Rais Kikwete akisalimiana na mmoja wa Watanzania Uholanzi

Picha ya Kumbukumbu

Rais Kikwete akisalimiana na Watanzania waishio Uholanzi

Rais Kikwete akisalimiana na Watanzania waishio Uholanzi

Rais Kikwete akisalimiana na Watanzania waishio Uholanzi

Rais Kikwete akipata picha za kumbukumbu na Watanzania waishio Uholanzi

Rais Kikwete akipata picha za kumbukumbu na Watanzania waishio Uholanzi

Rais Kikwete akipata picha za kumbukumbu na Watanzania waishio Uholanzi

Rais Kikwete akipata picha za kumbukumbu na Watanzania waishio Uholanzi

Rais Kikwete akipata picha za kumbukumbu na Watanzania waishio Uholanzi

Rais Kikwete akipata picha za kumbukumbu na Watanzania waishio Uholanzi

Rais Kikwete akipata picha za kumbukumbu na Watanzania waishio Uholanzi
Rais Kikwete akipata picha za kumbukumbu na Watanzania waishio Uholanzi

Rais Kikwete akipata picha za kumbukumbu na Watanzania waishio Uholanzi

Rais Kikwete akipata picha za kumbukumbu na Watanzania waishio Uholanzi

Rais Kikwete akipata picha za kumbukumbu na Watanzania waishio Uholanzi

Rais Kikwete akipata picha za kumbukumbu na Watanzania waishio Uholanzi

RC GAMA AKANA KUFANYA UDALALI WA ARDHI.
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro ,Leonidas Gama akizungumza na wanahabari (hawako pichani) juu ya tuhuma zilizoibuliwa bungeni dhidi yake. |
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama akiwa na mkuu wa wilaya ya Moshi,Novatus Makunga katika mkutano huo na wanahabari. |
MSAFARA WA KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA WAWASILI WILAYANI KAHAMA USIKU HUU KWA BASI,KESHO KUANZA RASMI ZIARA YA KAGERA

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Abdulrahman Kinana akipokelewa na kamati ya Ulinzi na Usalama usiku huu ndani ya wilaya Kahama mkoani Shinyanga tayari kwa mapumziko,ambapo kesho ataianza rasmi ziara yake katika kijiji cha Nyakanazi wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera,Ndugu Kinana ndani ya Biharamulo atapokea taarifa za chama na Serikali na baadae kuzungumza na Wafugaji wa kanda ya Ziwa (Mikoa ya Geita,Kagera,Mwana na Shinyanga) na baadae kueleke Bukoba mjini.
Ndugu Kinana amewasili wilayani humo akielekea mkoani Kagera kwa basi maalum katika ziara yake ya kikazi ya kukagua utekelezwaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM mwaka 2010 na kuimarisha uhai wa chama,akiwa ameambatana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye na baadhi ya Maofisa wa chama.

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana akipokelewa na Mbunge wa jimbo la Nzega usiku huu Dkt.Hamis Kingwangalla,mara baada ya kuwasili wilayani humo akielekea mkoani Kagera kwa basi maalum katika ziara yake ya kikazi ya kukagua utekelezwaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM mwaka 2010 na kuimarisha chama.Ndugu Kinana ameambatana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye na baadhi ya Maofisa wa chama.

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana akipokelewa na baadhi ya viongozi wa chama hicho usiku huu wilayani Nzega mkoani Tabora akielekea mkoani Kagera kwa basi maalum katika ziara yake ya kikazi ya kukagua utekelezwaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM mwaka 2010 na kuimarisha chama.Ndugu Kinana ameambatana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye na baadhi ya Maofisa wa chama.

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana akiwa na baadhi ya viongozi wa chama na serikali mara baada ya kuwasili wilayani humo akielekea mkoani Kagera kwa basi maalum katika ziara yake ya kikazi ya kukagua utekelezwaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM mwaka 2010 na kuimarisha chama.Ndugu Kinana pia aliwashukuru wakazi wa wilaya hiyo kwa kumpokea vyema na kumtakia kheri katika safari yake ya kujenga chama na nchi kwa ujumla

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana akiwashukuru wapenzi na washabiki wa chama hicho wilayani Nzega usiku huu kwa kumpokea vyema na kumtakia kheri katika safari yake ya kukijenga na kukiimarisha chama na nchi kwa ujumla

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana akimshukuru Mbunge wa Nzega Dkt Hamis Kingwangalla kwa mapokezi mazuri wilayani humo,ndugu Kinana amewasili wilayani humo mnamo majira saa nne usiku na ushehe akitokea jijini Dar kwa basi maalum akiwa emeambatana na ujumbe wake akielekea mkoani Kagera kwa ziara ya kikazi

Mbunge wa Nzega Dkt Hamis Kingwangalla akitoa ufafanuzi wa jambo kwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana .
PICHA NA MICHUZI JR.KAHAMA.
Urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ni huru na haki kwa yeyote kugombea asema Mh Samuel Sitta!
Moja ya kikundi cha ngoma za kimila cha Waswezi wakimsikiliza Mh Samuel Sitta. |
Mh Samuel John Sitta ambaye ni mjukuu wa aliyekuwa Mtemi wa himaya ya Unyanyembe Mtemi Said (Swetu) Fundikira aliyetawala kuanzia mwaka 1917 mpaka mwaka 1927 ni mwanasiasa mkongwe kwa siasa za Tanzania jana akijibu swali la mwandishi wa habari toka CG Fm 89.5 ambaye aliuliza "kwa kuwa tayari wana Ccm, 8 washatangaza nia ya kutaka kugombea Urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa nini wewe usingeamua kujiunga na mmoja wao ili kumuongezea nguvu, badala ya na wewe kutangaza nia? Mh Sitta akajibu "Kila mtu anajipima yeye mwenyewe uwezo wake kisha anaamua cha kufanya, vile vile urais ni huru na ni haki kwa mtu yeyote kugombea. Mdogo wangu Kigwangwala na yeye ana mpango wa kugombea, ni jambo zuri. Aidha Mh Sitta akaongeza kusema "lakini hata wewe ndugu mwandishi ungeweza kugombea, nashangaa sijui kwa nini hugombei" Jibu hili liliwafanya watu wengi waliohudhuria hapo Itetemia jana kuangusha vicheko.
Kikundi cha kina mama wakicheza na kuimba |
Mheshimiwa Sitta akisalimiana na baadhi ya watu waliofika Itetemia jana |
Mzee Ifuma Abdallah akimsindikiza Bibi Kagori Said Fundikira (Mama mzazi wa Mh Samuel Sitta) na kulia ni Agnes Kijoh Sitta(binti ya Mh Sitta) |
Kushoto ni Kefa Kijoh na Agnes Kijoh Sitta wakisalimia wageni |
Habari na picha Mkala Fundikira wa TBN CENTRAL ZONE
Subscribe to:
Posts
(
Atom
)